Don't miss
Fanya kila njia fuatilia hizi habari kama zina mashiko kuwa.........
KAMBI YA VIJANA
"Badilisha FIKRA kutoka mtazamo HASI kwenda mtazamo CHANYA, pamoja na TAMASHA la Muziki za KANTANTA"
Kuanza tarehr 29 JULAI -2 AGOSTI 2013
MAHALI: Mlimani City Conference Centre na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
UTARATIBU
Kutakuwa na hotuba kutoka kwa viongozi wa kitaifa pamoja na elimu ys ufahamu kutoka kwa mtaalamu wa masuala ya vijana. Pia lugha mbalimbali kama za hispania, korea, china, russia, kiingereza na TAE KWO DO, YOUTH DANCE na MARATHON. MICHEZO YA UTAMADUNI NYIMBO NA KWAYA YA GRACIOIS CHOIR NA MASOMO PIA.
JINSI YA KUJIANDIKISHA
1. Tigo Pesa
Tuma 10000tsh kwa namba 0659152233 au 0659152277
2. M Pesa
Tuma 10000tsh kwa namba 0754999634
Kisha tuma namba ya muamala/kumbukumbu namba, jina lako, umri na anuani kwa namba hizo
Kwa maelezo zaidi piga namba hizo.
Kumbuka ni siku 5 utakula kunywa na kushiriki vitu vyote hivyo, kitabu na t shirt itatolewa bure.
Kumbuka kubeba daftari, kalamu. Vitu vya choo na kuoga, nauli ya kurudi kwako na viatu vya marathoni.
Be a change agent, you are who you are and you will be as per Network and Exposure.
Mfalme Mswati III wa Swaziland akiteremka kwenye ndege mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere. Mfalme ni miongoni mwa Wakuu wa Nchi na Serikali watakaohudhuria Mkutano wa Majadiliano kwa Manufaa ya Wote (Global 2013 Smart Partnership Dialogue) utakaofanyika hapa nchini kuanzia tarehe 28 Juni hadi 1 Julai, 2013.
Ndugu Watanzania,
Tujitokeze kumuunga mkono Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika Mkutano utakaofanyika Dar es Salaam kuanzia tarehe 28 Juni, 2013 hadi 01 Julai, 2013 maarufu kama SMART PARTNERSHIP INTERNATIONAL DIALOGUE.
Tuchangie hoja zitakazoleta mabadiliko na maendeleo ya taifa letu.
Tafadhali jiandikishe kupitia tovuti ya www.globaldialogue2013.go.tz
Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini.
24/06/2013
Tujitokeze kumuunga mkono Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika Mkutano utakaofanyika Dar es Salaam kuanzia tarehe 28 Juni, 2013 hadi 01 Julai, 2013 maarufu kama SMART PARTNERSHIP INTERNATIONAL DIALOGUE.
Tuchangie hoja zitakazoleta mabadiliko na maendeleo ya taifa letu.
Tafadhali jiandikishe kupitia tovuti ya www.globaldialogue2013.go.tz
Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini.
24/06/2013