Jumanne, 9 Julai 2013

Ile siku ya wahitimu wa Social Science - UDOM kuaga

Aisee!
Shuhuda!
Wosia!
Wafuatao waliongea mambo mazito na shuhuda za kazi:
Leonard (IR), Samson (PSPA), Namala (PABA), Emelda (BAPA), Dominico (BAPA), Lilian (PABA), Mary(DS), Recho (BAPA), Upendo (BAPA), Debora (BAPA), Farida (IR), Senfros (DS), Zaituni (PSPA), Elisha (IR), Rahabu (BAPA), Makumba (IR), Sang'udi (LLB), Seth (BAPA), Joel (BAPA), Domina (IR), Bresta (IR), Jofu (PHIL), Emmy (BAPA), Damian (BAPA), Mena (BAPA)
Watu wamemshukuru sana Mungu, watu wameaga, imekuwa nzuri sana, philosophers wamerejewa, wameongoza ibada, kupiga picha za pamoja, picha za vikundi, kikozi, viongozi, marafiki, aisee hatuna namna ya kukuelezea uliyekosa kuwepo 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni