Alhamisi, 4 Julai 2013

NGOs zaanza kuongea kuhusu kazi zetu


Ni ile siku nilipowaambia kuwa....... soma hadi chini

Haya tena! Kitu kipya nimekiona nikasema niwajuze wadau wa Civil Society
Ni blog!
Inakusanya wanafunzi wa vyuo vikuu, inawafundisha maadili ya kazi, kujitolea, uzalendo, ujenzi wa nchi na kubwa zaidi kujipatia ujuzi kwa namna yoyote ile
Ina details/contacts za wanafunzi hao na inajua hadi na wilaya na vijiji vijana hao walipo
Una kazi ya muda mfupi? Una kazi ya mkataba
Huwezi bado kuajiri na umeanzisha NGOs au kampuni?
Unafanya research na huna vijana wa kukujazia dodoso zako?
Unataka watu wa kushirikiana nao bila ya gharama?
Hiyo blog ukiitembelea na ukasema ulipo na hasa nyakati kama hivi vyuo vimefungwa, mbona kazi yako inafanyika mara moja tu?
Sio kwamba hawataki hela, na sio kwamba hawatakiwi walipwe, hapana, ni kwamba tunataka kufaana na ikitokea una pesa kidogo basi walau unawapa sabuni, nauli, na kuwakumbuka siku una kazi ya maana, ni vijana waadilifu.
Ndiyo tu inaanza na ina vijana 200 tayari wa chuo kikuu cha Dodoma wa fani mbalimbali mwaka wa kwanza mpaka wahitimu wanaoingia mtaani hii July kutafuta kazi
Nimeaambia haya, sio tu kama waajiri na watu wenye uwezo wa kuwapa ujuzi ila pia ni kwasababu sote tunapaswa kujishughulisha kuwasaidia hawa vijana wajiendeleze na kuwa bora popote wanapokwepo
Karibuni kwa maoni, mawazo, maswali ......nimeshawasilisha!
  • Mwanaidi Msangi likes this.
  • Herman Longo UDF tunahitaji vijana wawili kwa sasa lakini watafanya paper yetu kabla ya kuchukuliwa. Tunahitaji Mkaka mmoja na mdada mmoja kwa majaribio. wasome www.udf.or.tz walete maombi na cv zao pia kwenye maombi waandike vision na mission zao binafsi tutawa judge kutokana na hilo.
    www.udf.or.tz
    UDF was registered on September 28th 2004, (Certificate of Incorporation No 5018...See More
  • Herman Longo Samahani tunawahitaji walisomea community development,sociology,education,au Project planning and management sio accountants.
  • Justine Samson Ukifika wakati muafaka, wewe nielezee kijiji ama wilaya nikupe namba na jina la hao vijana halafu kwa sasa hapa mwanzoni, msiwahesabu kuwa wataalaam saana, oneni kama watu ambao unawagawia kidogo ujuzi ulionao ili kesho wafanye kazi nzuri.......tuandae rasilimali watu wetu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni